Hizi ni hadithi za Mtume(s.a.w)zilizoandikwa na Imam Nawaw Allahamridhiye。 Kitabu hiki kimekusanya hadithi 40 kutoka katika vitabu vikubwa vya hadithi kama Sahihul-bukhar、sahihul muslim navinginevyo。 Amekusudia kuchagua hadithi sahihi tu katika hizi hadithi40。
イマームナワウピアアメアンディカビタブヴィングヴィヤハディティナフィク。 Ameandika kitabu cha hadithi kinazotambulika kama Riyaadhu as-salihiin yaani“ BOSTANI LA WAJAWEMA” pia katika kitabu hicho alikusudia kuandika hadithi sahihitu。
Hivyo basi nasi tumeona kuwaletea karibu hadithi hizi kwa lugha ya kiswahili ili kuendelea kuisambaza kazi ya maulamaahawa。 Tuanatarajia radhi kwa Allah katika kazihii。 Kwa yeyote atakayeona kosa basi awasiliane nasi kwa harakazaidi。