Jifunze Neno La Mungu. Ni app mahususi kabisa itakayo kufanya ujifunze maneno matakatifu yaliyo andikwa katika vitabu vitakatifu kama vile biblia n.k na kuhubiliwa na watumishi wa bwana.
Kwa njia ya vitabu ndani ya app hii ya Mungu Kwanza itakuwezesha wewe kukua kiroho na kuvuta wengine kwa Yesu.
Ndani ya app hii ya Mungu Kwanza utaweza pata yafuatayo:-
1. Biblia
2. Kesha la asubuhi.
3. Nyimbo za Kristo.
4. Usomaji wa Biblia kwa mpango.