Fahamu Neno la Mungu ni app ya kipekee ambayo inamwezesha mkristo kufahamu kwa undani neno la Mungu na mafundisho ya kiroho.
App hii ni mahususi kabisa itakayo kufanya ujifunze maneno matakatifu yaliyo andikwa katika vitabu vitakatifu kama vile biblia n.k na kuhubiliwa na watumishi wa bwana.
Pia kupitia hii app utaweza kusoma vitabu vilivyo chambuliwa katika biblia takatifu na kupostiwa na watu mbalimbali ulimwenguni kupitia blog